Habari

Wakenya Wahimizwa Kutoa Damu

Published

on

Mkenya Akitoa Damu katika Kituo cha Kuhifadhi Damu katika Kaunti ya Nakuru

Wataalam wa afya wanasema msaada mmoja wa damu unaweza kuokoa maisha ya watu watatu. Mbali na kutumiwa kama damu yote, inaweza pia kugawanywa katika vitu tofauti – seli nyekundu za damu, chembe za damu au plasma  na kutumika kutibu magonjwa kadhaa.

Sikiliza Taarifa Hii iliyoandaliwa na Henix Obuchunju

https://pamojafm.co.ke/wp-content/uploads/2022/02/Damu-Story.mp3?_=1

Click to comment

news

Exit mobile version