Kulingana na shirika la afya duniani WHO,asilimia 45 ya visa vya uavyaji mimba ni haramu.Visa hivi vimekithiri katika mitaa ya mabanda,Kibera ikiwa miongoni mwao.
Sikiliza makala haya yaliyotayarishwa na Buthaina Asindua.
MAKALA VYA UVIAJI MIMBA MTAANI KIBERA by Buthaina Asindua